Tuesday, April 10, 2012

SALAMU NA SHUKRANI KUTOKA KWA BLOG YA MAISHA NA MAFANIKIO!!!

Kwanza kabisa napenda kuwasalimu wote. Pia napenda kuchukua nafasi hii na kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kila dakika anipayo. Halafu nashukuru nimeisherekea sikuku hii ya kufufuka kwa Bwana wetu Kristo vema. Kwa hiyo namalizia na salamu hizi:-
Tuni/mafuatano ya sauti ndogo inaweza kukufanya/kutufanya uanze/tuanze kuimba, pia kukumbatiwa kunaweza kukufanya ujisikie vizuri. Vitu vidogo vinaweza kukufanya/kutufanya uwe/tuwe na furaha. Ni matumaini yangu SALAMU yangu hii, imekufanya UTABASAMU.....SIKU NJEMA....Yasinta/Kapulya

4 comments:

emuthree said...

Tupo pamoja ndugu yangu tabasamu kwa sana, nikifungua blog hii.Tupo pamoja

Mija Shija Sayi said...

Ni kweli kabisa dada, ubarikiwe mno.

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Da Yacinta ubarikiwe nawe pia. Kula la heri.

ray njau said...

Salamu kwako dada Yasinta.