Saturday, February 28, 2015

TANZIA: MBUNGE WA MBINGA MAGHARIBI KAP. JOHN KOMBA AFARIKI DUNIA...

Mbunge wa Mbinga na mjumbe wa Halmashauri kuu ta Taifa ya CCM Kapteni John Damian  Komba afariki dunia leo saa 10 jioni katika hospital ya TMJ Dar es salaam kwa tatizo la kisukari. Marehemu asterehe kwa amani Bwana ametoa  bwana ametwaa  jina lake lihidimiwe. Amina

3 comments:

ray njau said...

Pole sana kwa familia,ndugu,jamaa na marafiki wote.

Nicky Mwangoka said...

Pole dada kwa msiba wa Captain Komba. RIP J. Komba

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Ray na kaka Mwangoka tumwombea marehemu astarehe mahali pema peponi.