Monday, November 27, 2017

TUMALIZE JUMATATU YA MWEZI HUU WA KUMI NA MOJA KWA MTINDO HUU....UREMBO WA ASILI

 Heleni ....ambazo ni kazi za mikono ya watu kwa ubunifu safi  kabisa
Na hapa ni pia ubunifu mzuri kabisa wa viatu/sandosi. 
NAPENDA KUCHUKUA NAFASI HII NA KUWATAKIENI WOTE MTAKAOPITA HAPA JUMATATU NJEMA SANA NA OMBI LANGU NI KWAMBA TUDUMISHE UTAMADNI WETU....Kapulya wenu...!

1 comment:

Mwandoba said...

Pole kwa majukumu, Mtani mbona uko kimya sana masuala ya asili tangu utupe uhondo mwaka jana.