Wednesday, May 2, 2018

HAPA NI KWETU MBINGA..ANGALIA MANDHARI YAKE INAVOVUTIA.....!

Kama tuonavyo ni mandhari nzuri ya migomba,  na vinginevyo pia mwaona kuku wakidonoadonoa na bila kusahau banda ya nguruwe....
Mkungu wa ndizo(kaporota) kutoka katika hiyo migomba hapo juu kazi ya mikono ya kaka yangu amenitumia ili kunitamanisha na amenitamanisha  haswaaa
Bado ni bustani ya migomba na vingine kama vile mahindi na vinginenyo na kwa juu ndio nyumba yetu mpya ya huko Mbinga....karibuni
Nguruwe....pia wapo

No comments: